Saturday, January 31, 2015

SIMBA YASHINDA BAO 2- 1 DHIDI YA JKT RUVU TAIFA

Kikosi cha timu ya Simba SCkilichoanza leo dhidi ya JKT Ruvu Uwanja wa taifa na kushinda bao 2-1.
Kikosi cha timu ya JKT Ruvu kilichoanza leo.
Makapteni wakisalimiana na marefa kabla ya mechi.
Mashabiki wa Simba wakishangilia.
Wachezaji wa Simba wakiwasalimia mashabiki baada ya mechi.
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16.
Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.
(PICHA: MUSA MATEJA/GPL)


No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...