Monday, July 30, 2012

ZANTEL EPIQ BONGO STAR SEACH YANASA 6 TANGA


Washiriki waliokosa nafasi ya kufanya usaili jana wakisuburi kuingia kuwaona majaji ndani ya ukumbi wa La Casa Chica mjini Tanga.
Mshiriki Sarah Mbwambo akitabasamu mara baada ya kutoka kuwaona majaji.
Washiriki kutoka Tanga wakitoa…
Washiriki waliokosa nafasi ya kufanya usaili jana wakisuburi kuingia kuwaona majaji ndani ya ukumbi wa La Casa Chica mjini Tanga. Mshiriki Sarah Mbwambo akitabasamu mara baada ya kutoka kuwaona majaji.Washiriki kutoka Tanga wakitoa alama ya poa muda mfupi kabla ya kuingia kuwaona majaji.Majaji wakimsikiliza mshiriki kwa umakini ndani ya ukumbi wa La Casa Chica Tanga. Washiriki wa mwisho wakifanya usajili tayari kuingia kuwaona majaji.Washiriki wakizidi kufanya usajili.Washiriki wakiwa ndani ya chumba cha usaili wakisubiri zamu yao kuingia.
Haya ndiyo yaliyojiri katika siku ya pili ya usaili wa Zantel Epiq Bong Star Search uliofanyika katika ukumbi wa La Casa Chika jijini Tanga. Majaji wameonekana kufurahishwa na vipaji na kuamua kuchukua watu sita badala ya watano ambao wataenda Dar es Salaam kuiwakilisha Tanga. Zaidi ya washiriki 800 walijitokeza katika usaili wa mjini Tanga. Usaili utaendelea tena tarehe 1 mwezi Agosti katika eneo la Coco Beach Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...