Monday, July 30, 2012

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA SHEMEJI YAKE LINDI



Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo Julai 30, 2012 amehudhuria mazishi ya shemeji yake, Marehemu Amani Kinyozi (45), aliyefariki siku ya jumamosi iliyopita jijini Dar es salaam, na kuzikwa katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi.
Rais Kikwete akishiriki katika swala ya kumuombea marehemu mjini Lindi leo.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...