Monday, July 30, 2012

ZANTEL EPIQ BONGO STAR SEACH YANASA 6 TANGA


Washiriki waliokosa nafasi ya kufanya usaili jana wakisuburi kuingia kuwaona majaji ndani ya ukumbi wa La Casa Chica mjini Tanga.
Mshiriki Sarah Mbwambo akitabasamu mara baada ya kutoka kuwaona majaji.
Washiriki kutoka Tanga wakitoa…
Washiriki waliokosa nafasi ya kufanya usaili jana wakisuburi kuingia kuwaona majaji ndani ya ukumbi wa La Casa Chica mjini Tanga. Mshiriki Sarah Mbwambo akitabasamu mara baada ya kutoka kuwaona majaji.Washiriki kutoka Tanga wakitoa alama ya poa muda mfupi kabla ya kuingia kuwaona majaji.Majaji wakimsikiliza mshiriki kwa umakini ndani ya ukumbi wa La Casa Chica Tanga. Washiriki wa mwisho wakifanya usajili tayari kuingia kuwaona majaji.Washiriki wakizidi kufanya usajili.Washiriki wakiwa ndani ya chumba cha usaili wakisubiri zamu yao kuingia.
Haya ndiyo yaliyojiri katika siku ya pili ya usaili wa Zantel Epiq Bong Star Search uliofanyika katika ukumbi wa La Casa Chika jijini Tanga. Majaji wameonekana kufurahishwa na vipaji na kuamua kuchukua watu sita badala ya watano ambao wataenda Dar es Salaam kuiwakilisha Tanga. Zaidi ya washiriki 800 walijitokeza katika usaili wa mjini Tanga. Usaili utaendelea tena tarehe 1 mwezi Agosti katika eneo la Coco Beach Dar es Salaam.

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA SHEMEJI YAKE LINDI



Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo Julai 30, 2012 amehudhuria mazishi ya shemeji yake, Marehemu Amani Kinyozi (45), aliyefariki siku ya jumamosi iliyopita jijini Dar es salaam, na kuzikwa katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi.
Rais Kikwete akishiriki katika swala ya kumuombea marehemu mjini Lindi leo.

ECO BANK YATIKISA NA PROMOSHENI YA SHINDA BABU KUBWA



Balozi wa Eco Bank, Joyce Mrema akizungumza na wateja wakati wa promosheni ya Shinda Babu kubwa na EcoBank katika viwanja vya Mlimani City  jijini Dar es Salam.

 

SHINDA  Babkubwa Promo na Ecobank Promo, enhancing personal,
family and business lives..
Shinda Babkubwa na Ecobank promotion is creating lots of excitement in Dar es Salaam. The first set of winners emerged in the June draw and they are right now redeeming their prizes amidst celebration and jubilations. Being one of the most exciting promotions in Dar es Salaam right now, the promotion mechanics is simple and easy to understand. The prizes are functional and intended to add value to a winner’s life, personally, as a family or even as a business owner.

Taji Kaaya a student of Kampala University who won an Ipad said ‘I came back from Kampala to hear I had won a laptop. It put some sunshine into my holiday’. The story of Kelvin Kipenge . who won a laptop was equally touching when he said ‘I have longed to own a brand new laptop to help me get information around the world that I need to do my business’. Another winner, CEO of Federal Trading Company Limited, was excited about giving his wife the opportunity to shop in Mariedo. ‘I will give the voucher to my wife to shop and I will watch her pick those lovely clothes she has been dreaming of’.

While some winners opted to redeem their prizes same day, others said they will take their time, shop around and eventually settle for what they want. Some winners went to Clocktower Shopping Centre while others went to Home Shopping Centre. This is the beauty of the Shinda Babkwuba na Ecobank promo. You have options with your prize and you can redeem it at your convenience.

Mr. Sam Ayim, Executive Director of the Ecobank Tanzania, said …‘Our branches have seen tremendous growth in traffic from June 4th when the promotion started. This is a clear indication that the objectives of the promotion which included fostering a saving culture in Tanzania, is being achieved. Saving is an essential tool in planning for the future. Thanks to Shinda Babkubwa na Ecobank na Ecobank Promo. He further explained.. ‘We have exciting products and services that have been carefully developed to deliver endearing value to our customers’ and encouraged potential customers to visit any of Ecobank branches to avail themselves of more information.

For those who did not win in the first draw, the promotion continues until November, so there is still time to win. Simply open an account with Ecobank and grow your deposit to Tsh 100,000 each month to qualify for a chance to win. Prizes include a brand new Hyundai Tucson grand prize and monthly prizes including Ipads, Laptops, Air Tickets and more. Visit an Ecobank branch today to open your account. Ecobank, The Pan African bank.

MAMBO YA CHAGA DAY LEADERS CLUB

Wadau wakipata pombe aina ya mbege yenye asili ya Kichaga. Wadau wakipata mbege na Chakula wakati wa tamasha la CHAGGA DAY lilofanyika katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam Wadau wakipata Mbege Bendi ya msondo ngoma ikitoa burudani wakati wa tamasha la Chagga Day Wacheza shoo wa Bendi ya Twanga Pepeta wakicheza wakati wa Chaga Day. Wadau Wadau wakipata mbege wakati wa tamasha la CHAGGA DAY lilofanyika katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam

Thursday, July 26, 2012

WAZIRI WA UCHUKUZI DR HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA HUDUMA MPYA ZA SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR KUTOKA KIA


Picha ya pamoja mara baada ya Shirika la ndege la serikali ya Qatar (Qatar airways) leo kuzindua huduma ya safari zake za anga kutoka Kilimanjaro kuelekea sehemu mbalimbali za dunia kila siku na kufanya huduma za safari za anga kufikia zaidi miji 118.
 

Mgeni rasmi katika uzinduzi huo,waziri wa mawasiliano na uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe akimkabidhi Mkurugenzi mtendaji wa masoko wa shirika hilo Bw. Marwan Koleilat kwa niaba ya shirika hilo la ndege la Qatar zawadi ya picha yenye kivuli cha Mlima Kilimanjaro .


Mkurugenzi mtendaji wa masoko wa shirika la Qatar Bw. Marwan Koleilat kwa niaba ya shirika hilo akimpa Mgeni rasmi katika uzinduzi huo,waziri wa mawasiliano na uchukuzi Dr. Harrison zawadi ya yenye nembo ya ndege ya shirika hilo la Qatar.


Mgeni rasmi katika uzinduzi huo,waziri wa mawasiliano na uchukuzi Dr. Harrison akizungumza mbele ya wageni waalikwa wakiwemo na wahariri wa habari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani),mapema leo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA.

Mkurugenzi mtendaji wa masoko wa shirika la Qatar Bw. Marwan Koleilat kwa niaba ya shirika hilo akizungumza mbele ya wageni waalikwa wakiwemo na wahariri wa habari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani),mapema leo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA.

Kutoka kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa masoko wa shirika la Qatar Bw. Marwan Koleilat,Waziri wa Uchukuzi Dr.Harrison Mwakyembe,Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya KADCO, Balozi Hassan Omar Gumbo Kibelloh pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki wakijadiliana jambo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya KADCO, Balozi Hassan Omar Gumbo Kibelloh lakizungumza machache na pia kumkaribisha mgeni rasmi na wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye hafla hiyo mapema leo iliofanyika kwenye uwanja wa KIA.

Wakuu wa uzinduzi wakipga makofi kwa pamoja mara baada ya uzinduzi huo.

Mgeni rasmi katika uzinduzi huo,waziri wa mawasiliano na uchukuzi Dr. Harrison akipiga makofi wakati kikundi cha ngoma za asili kikitumbuiza,shoto kwake ni Mkurugenzi mtendaji wa masoko wa shirika la Qatar Bw. Marwan Koleilat

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya KADCO, Balozi Hassan Omar Gumbo Kibelloh akimkaribisha Mkurugenzi mtendaji wa masoko wa shirika la Qatar Bw. Marwan Koleilat mara baada ya kuwasili na ndege ya shirika hilo aina ya Ndege namba QR546,shoto kwake ni Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya KADCO, Balozi Hassan Omar Gumbo Kibelloh akimpokea Mgeni rasmi,Waziri wa Uchukuzi Dr Harrison Mwakyembe mara baada ya kuwasili KIA tayari kwa uzinduzi

Mgeni rasmi,Waziri wa Uchukuzi Dr Harrison Mwakyembe akishuka kwenye ndege ya Qatar kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) akiwa ameambatana na Mkewe pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki.

Ndege ya Qatar ikiwasili kabla ya kuzinduliwa rasmi KIA.

Ikifanyiwa shower kwa mbwembwe zote.

Wageni waalikwa mbali mbali wakisubiri kushuhudia uzinduzi huo.








Pichani kulia ni Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Mhe.Novatus Makunga akizungumza jambo na Mhariri Mkuu wa gazeti la Tanzania Daima,Bw.Absalom Kibanda.



Baadhi ya Wanahabari Waandamizi wakiwa kwenye uzinduzi huo mapema leo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...