Saturday, January 30, 2016

YANGA SC.YACHEZEA KICHAPO CHA MABAO 2-0 DHIDI YA COASTAL UNION TANGA!

Kikosi cha timu ya Yanga SC, kikiwa katika picha ya pamoja mapema kabla ya mchezo huo kuanza, ambapo wamechezea kichapo cha magoli 2-0 kutoka kwa timu ya Coastal Union ndani ya uwanja wa Mkwakwani Tanga jioni ya leo.
Wachezaji wa timu ya Coastal Union wakiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya mchezo wao dhidi ya Yanga kuanza.
Beki wa kushoto wa timu ya Yanga, Oscar Joshua, akipambana na mmoja wa walinzi wa timu ya Coastal Union.
Mashabiki wa timu ya Coasta Union ya Tanga wakishangilia bao lao la pili.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...