Friday, January 29, 2016

Q-CHILLAH KUONGOZA VICHWA ZAIDI YA 10 JUMAPILI HII KWENYE UTAMBULISHO WA BENDI YAKE


Jumapili hii katika Ukumbi wa Billicanaz wasanii, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah, Mb Dog, Khadja Nito, Amo Genius, Shalvin, Med na Udsm Xband watakinukisha ile mbaya katika utambulisho wa bendi yao mpya ya Qs International Music.

Wasananii wengine watakaosindikiza utambulisho huo ni Chaz Baba, Juma Nature, Bushoke, Abdul Misambano na Banana Zorro.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...