Friday, January 1, 2016

CHRISTIAN BELLA AUANZA MWAKA KWA KUWAPAGAWISHA WAKAZI WA MBAGALA

Christian Bella akipanda jukwaani kuwasalimia mashabiki.Mashabiki wakijiachia kwa kucheza muziki dakika chache kabla ya kuanza mwaka mpya 2016Ni full kufurahia.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Simu za mkononi, Airtel Tanzania na wafanyakazi wa Dar Live wakiandaa maputo kwa ajili ya shamra shamra za kuukaribisha mwaka mpya 2016.
Maputo yakipeperushwa hewani kuashiria kuanza mwaka mpya 2016.
Bella akitoa kionjo wakati wa kuukaribisha mwaka mpya.
Christian Bella (mwenye kofia nyekundu) na Mama Tunu wakitikisa chupa za shampeni. Wanaoshuhudia tukio hilo ni mashabiki pamoja na Meneja wa Dar Live, Juma Mbizo (katikati mwenye shati la dratfi).
Zoezi la kufungua shampeni likishika kasi.
Shampeni ya mama Tunu hiyooooo ikafunguka.
Bella naye akakazana.
Dakika zikatimia…. mwaka 2016 huoooo ukafika.
Bella akaanza kuwaonjesha shampeni mashabiki zake.
Mashabiki wakichukua picha za ukumbusho wa tukio hilo kwenye simu zao.
Bella akaanza kutoa vionjo vya nyimbo zake kali.Bella acha kabisaaaaa
Mashabiki wakifuatilia shoo hiyo.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...