Thursday, August 29, 2013
MMAREKANI PHIL,CHEKA WAPIMA UZITO TAYARI KWA MPAMBANO WA KESHO
Cheka akipimwa afya na daktari wa TPBO, Donald Madono.
MABONDIA Francis Cheka na mpinzani wake, Phil Williams wanaotarajiwa kutwangana kesho Ijumaa kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, kugombea mkanda wa ubingwa wa dunia wa WBF leo wamepima uzito kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Jijini Dar es Salaam.
Mapambano ya utangulizi yatakuwa ni kati ya Thomas Mashali na Mada Mago, Alphonce Mchumiatumbo na Chupaki Chipindi.
Mmarekani Wills naye akipimwa afya ambapo mabondia wote walionekana wako salama kwa ajili ya mpambano huo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment