MABONDIA Francis Cheka na mpinzani wake, Phil Williams wanaotarajiwa kutwangana kesho Ijumaa kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, kugombea mkanda wa ubingwa wa dunia wa WBF leo wamepima uzito kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Jijini Dar es Salaam.
Mapambano ya utangulizi yatakuwa ni kati ya Thomas Mashali na Mada Mago, Alphonce Mchumiatumbo na Chupaki Chipindi.
No comments:
Post a Comment