Wednesday, February 27, 2013

OMOTOLA NA GENEVIEVE NNAJ HAKUNA BEFU TENA




Stori za kuaminika kutoka kwenye ardhi ya Nigeria ni kwamba beef iliyokuepo kati ya waigizaji mastaa wa Nigeria Omotola Jalade na Genevieve Nnaji imekwisha ambapo kuonyesha kwamba uhasama umefutika Genevieve alihudhuria suprise ya pili ya birthday ya Omotola Jalade kama inavyoonekana kwenye hizi picha.

Wengine waliohudhuria ni Bimbo Akintola, Monlisa Chinda, Guild of Nigeria president Ibinabo Fiberisima, Chidi Mokeme, pamoja na mwimbaji staa wa Nigeria Banky W, Sound Sultan na wengine.



Omotola na Genevieve Nnaji.


.





.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...