Wednesday, December 19, 2012

TIMBWILI LA UJAMBAZI KARIAKOO JANA


Mtu anaedaiwa Kuhusika katika tukio la Ujambazi lililotokea Maeneo ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam jana akiwa chini ya Ulinzi baada ya kukamatwa. Watu wawili waliuwawa jana na majambazi wakati wakipora fedha.



No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...