Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multchoice Barbara Kambogi akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya mabadiliko ya Chanel za DStv yatakayoanza tarehe 1 Oktoba mwaka huu, hafla hiyo imefanyika kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam.
Thursday, August 30, 2012
Stv kufanya mabadiliko katika vipindi vyake kuanzia Oktoba mosi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment