Sunday, January 24, 2016

YANGA YAICHAPA 3-0 FRIENDS RANGERS TAIFA

Washambuliaji wa timu ya Yanga SC, Paul Nonga na Simon Msuva wakiwa wamekumbatiana wakati wakishangilia bao lililofungwa na Msuva.
 TIMU ya Yanga SC, mapema leo imefanikiwa kutinga raundi ya 16 bora kwenye michuano ya ya Azam Sports Federation Cup maarufu kama FA baada ya kuichapa magoli 3-0 timu ya Friends Rangers ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Yanga Paul Nonga akiwatoka mabeki wa timu ya Friends Rangers.
Msuva kushoto akionyesha uwezo wake uwanjani hapo.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...