Wednesday, July 15, 2015

SAIDI FELLA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI KATA YA KILUNGULE




Meneja wa kundi la Wanaume Famili pamoja na Yamoto Bendi Saidi Fella akiwa katika picha na baadhi ya wajumbe wa Kata ya Kilungule muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kugombea katika nafasi ya Udiwani.
HAYA ndiyo maneno yake aliyoongea mara tu baada ya kuchukua fomu hiyo: Na shukulu MUNGU Leo nimethubutu kuchukua fomu ya udiwani kata mpya ya Mbagara Kilungule wadau naomba dua zenu", MANENO YAKE HAYO.


No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...