Akizungumza katika ofisi hizo baada ya kujionea shughuli zinazofanywa na kituo hicho, aliupongeza uongozi mzima wa Azam TV na hasa mkurugenzi wa kituo hicho, Tido Mhando, kwa uzoefu alionao akiamini televisheni hiyo itakuwa bora Afrika na dunia nzima.
Thursday, June 4, 2015
MAALIM SEIF ATEMBELEA OFISI ZA AZAM TV
Akizungumza katika ofisi hizo baada ya kujionea shughuli zinazofanywa na kituo hicho, aliupongeza uongozi mzima wa Azam TV na hasa mkurugenzi wa kituo hicho, Tido Mhando, kwa uzoefu alionao akiamini televisheni hiyo itakuwa bora Afrika na dunia nzima.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment