MWILI wa aliyekuwa mwanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdu Bonge, mapema leo asubuhi ulihamishwa kutoka katika Hospitali ya Mwananyamala na kupelekwa Muhimbili kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi zaidi.
Baada ya uchunguzi huo kukamilika ulichukuliwa na kupelekwa Magomeni Kagera kwaajili ya kuagwa na baadaye safari ya kwenda mjini Morogoro kwa shughuli za maziko yanayotarajiwa kufanyika kesho majira ya saa 7 mchana.
No comments:
Post a Comment