Friday, February 27, 2015

RED CARD!!!!!

Dakika ya 19, BDF wanapata pigo la aina yake, kwa mchezaji wao Othusitse Mpharithe, kupigwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mbaya Simon Msuva kwa kuacha mpira na kumkanyaga, lakini anaendelea kucheza

..........................

Danny Mrwanda anaonyeshwa kadi ya njano dakika ya 26

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...