Friday, February 27, 2015

MPIRAAAAAAA UMEISHAAAAA

Mwamuzi anapuliza kipyenga cha mwisho, DBF XI 2-1 Yanga, lakini Yanga wanafuzu kutokana na ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa awali uliopigwa Dar es Salaam.

Hata hivyo Yanga wanatakiwa kujilaumu wenyewe kutokana na washambuliaji wake, Tambwe, Msuva na Ngassa kukosa mabao mengi huku wakigongesha mwamba mara tatu




No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...