Mlizinzi wa kati wa Simba SC, Hassani Isiacka akijaribu kujirinda kwa kumvuta jezi mmoja wa washambuliaji wa timu ya Mbeya City, jana ndani ya Uwanja wa Taifa jiji Dar, ambapo Simba ililala kwa mabao 2-1.
Mambo yalikuwa hivi
Baadhi ya mashabiki wa timu ya Mbeya City
Wachezaji wa Mbeya City wakiwa wamembeba kocha wao.
Shangwe za Mbeya City zikiendelea nje ya Uwanja muda mfupi baada ya kumalizika kwa mpambano huo.
No comments:
Post a Comment