Saturday, June 21, 2014

TAMASHA LA ATOSHA KISSAVA LASOGEZWA MBELE KUTOKANA NA MSIBA WA DEBORA SAID

Siku ya Jumapili 22/06/2014 ilikuwa ni siku ya kufanyika uzinduzi wa albamu ya Atosha Kissava katika kanisa la marehemu mama mchungaji Debora Said hapo Mabibo Extenal Ubungo jijini Dar es Salaam. Tamasha hili halitafanyika mpaka mtakapotangaziwa tena.
Tunawaomba radhi kwa yote yaliyotokea na tunasikitika sana na kifo cha mtumishi wa Mungu Debora Said

ASANTENI

Atosha Kissava


No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...