Monday, April 14, 2014

MATUKIO YA NYUMBANI KWA MAREHEMU GURUMO




Wawakilishi wa Global Publishers, Sifael Paul (anayeandika kwenye daftari) na Elvan Stambuli mwenye kizibao, wakiandika mchango wa Kampuni ambao ni shilingi 500,000 kabla ya kuwakabidhi ndugu wa marehemu Muhidini Gurumo leo jioni nyumbani kwa marehemu Makubuli, Dar, leo. Atazikwa kesho Masaki, Kisarawe.


Mwakilishi wa Global Publishers, Elvan Stambuli akimkabidhi mjomba wa marehemu Muhidini Gurumo, Yahya Mikole (katikati) shilingi 500,000 ambazo ni rambirambi ya kampuni kwa msiba huo.


…Fedha zikihesabiwa.


Mwakilishi wa Global akizungumza, Stambuli akimtambulisha Mhariri wa Ijumaa Wikienda, Sifael Paul kwa nguli wa muziki King Kikii ambaye alikuwepo msibani leo.


Mwanamuziki mpapasa kinanda, Abdul Salvado ‘Father Kidevu’ akisalimiana na mwakilishi wa Global.


Hawa ni wadau wa muziki wa dansi wakiwa msibani keo huku wakionesha sura za huzuni.
Rashidi Pembe (mpuliza saksafoni kulia) akiwa na King Kikii msibani leo.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...