Sunday, March 30, 2014

WAZIRI MKUU AJUMUIKA KWENYE MAZIKO YA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN TUPA


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka mchanga katika kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa, kwenye mazishi yaliyofanyika nyumbanikwa marehemu, Kilosa Machi 29, 2014.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Marehemu, Kilosa, Machi 29, 2014.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akimfariji Mzee Gabriel Tupa baba mzazi wa aliyekuwaMkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu Kilosa achi 29, 2014.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...