Tuesday, December 31, 2013

FRANCIS MIYEYUSHO,JOSHUA AMUKULU KUZICHAPA LEO MSASANI CLUB


Bondia Joshua Amukulu(kushotO) wa Kenya akitunishiana misuli na Fransis Miyeyusho wakati wa upimaji uzito kwa ajili ya pambano lao litakalofanyika kesho Dec 31 katika ukumbi wa Msasani Club.

Bondia Kalama Nyilawila(kushoto) na Ibrahimu Maokola baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa utangulizi katika pambano la Miyeyusho na Joshua.

Bondia Fransic Miyeyusho akipima uzito .

Miyayusho akihojiwa.

Bondia Ibrahimu Class 'king Class Mawe' kushoto akitunishiana misuli na Mustafa Dotto.




No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...