Monday, November 25, 2013

KILIMANJARO STARS WAAGWA HOTELI YA TANSOMA


Katibu wa Baraza la Michezo Tanzania Henry Lihaya(kushoto) akiwakabidhi Bendera ya Taifa kocha wa Kilimanjaro Stars Kim Poulsen na kapteni Kelvin Yondani. 
 
Kilimanjaro Stars leo wameagwa rasmi katika Hoteli ya Tansoma, Jijini Dar tayari kuelekea nchini Kenya kushiriki mashindano ya Chalenji yanayotarajiwa kuanza siku ya Jumatano ya wiki hii. Kilimanjaro Stars wanaondoka leo kuelekea nchini humo.
Mjumbe wa TFF Godfrey Nyange 'Kaburu'(kushoto) wa katikati ni kocha wa Kilimanjaro Stars Kim Poulsen na Katibu wa Baraza la Michezo Tanzania Henry Lihaya(kulia).
Nahodha wa timu ya Kilimanjaro Stars Kelvin Yondani (kulia) akiongea na waandishi wa habari leo.
Wachezaji wa timu ya Kilimanjaro Stars.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...