Wednesday, September 4, 2013

HIVI NDIVYO MWILI WA ASKOFU KULOLA ULIVYOAGWA KWENYE UWANJA WA CCM KIRUMBA


Pichani juu ni taswira za kuaga mwili wa marehemu Askofu Moses Kulola katika Uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza. Malefu ya wananchi walijitokeza jana kumuaga mpendwa wao huyo aliyefariki Agosti 29 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Mwili wa marehemu Kulola unatarajiwa kuzikwa leo jijini Mwanza.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...