Huyu ni Raheem Mtangazaji Wa Times Fm Ambaye ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar-Es Salaam.
Raheeem Ni Mmoja wa Mabrazamen wakali Hapa Town Pia Ameshatokea Kwenye Mabango ya Tangazo la Tigo. Inasemekana Siku Hizi Etii...yeye na Dada Yetu Wema Sepetu
Ndio Wanadate.Na Wema Sepetu Ndio Haongei Kitu.Ushahidi Ni Kupitia Hii Picha ya Wema Sepetu Akiwa Chobisi Anatomaswa na Mtangazaji Huyo wa Times Fm
Ambaye ni Mwanachuo wa UDSM.
Raheeem Ni Mmoja wa Mabrazamen wakali Hapa Town Pia Ameshatokea Kwenye Mabango ya Tangazo la Tigo. Inasemekana Siku Hizi Etii...yeye na Dada Yetu Wema Sepetu
Ndio Wanadate.Na Wema Sepetu Ndio Haongei Kitu.Ushahidi Ni Kupitia Hii Picha ya Wema Sepetu Akiwa Chobisi Anatomaswa na Mtangazaji Huyo wa Times Fm
Ambaye ni Mwanachuo wa UDSM.
No comments:
Post a Comment