Wednesday, May 8, 2013

HIZI NDIZO PICHA ZA MKE WA MBUNGE WA CHADEMA SUGU AKIONESHA TATOO KIUNONI


Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, ameshare picha zinazowaonesha akiwa na mwanae pamoja na mama wa mtoto wake huyo, Faiza Ally, waliamua kupark usafiri wao pembeni ya barabara na kufurahia mandhari ya kuvutia ya Mlima Kitonga, mkoani Iringa. Tazama picha zao.


Sugu akifurahia mandhari ya Kitonga

Yohoooooo!!!

Faiza na mwanae




Sugu na familia yake

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...