Thursday, April 25, 2013

JITEGEMEE ALUMNAE REUNION

Antu Mandoza  Co-Coordinator

Co-Coordinator Antu Mandoza na Wasiwasi Mwabulambo wakishirikiana na kamati ya Jitegemee ikiongozwa na Mkuu wa Shule Mrtin Mkisi, wamaletea Alumnae Reunion siku ya kesho pale pale JKT kuanzia saa 2 asubuhi na kuendelea. Kutakua na michezo yote kuvuta kamba, kukimbiza kuku, basket ball, Volleyball, football pia kukumbushiana enzi kutakuwa na kwata la hiari, msosi na vinywaji vyote, burudani kutakuwa na wasanii waliowahi kusoma Jitegemee akiwemo Mh. Temba na wana TMK, Soggy Doggy, Mabaga Fresh na wengine wengi. Kwa mchango wako wa Tshs. elfu tano (5,000) tu getini. 
WOTE MNAKARIBISHWA.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...