Monday, April 29, 2013

BREAKING NEWS: GODBLESS LEMA AACHIWA HURU KWA DHAMANA YA MILIONI MOJA .



Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema.

Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, leo ameachiwa kwa dhamana ya shilingi milioni moja katika mahakama kuu kanda ya Arusha. Kwa sasa mamia ya wafuasi wa Chadema wanaandamana na mbunge huyo kuelekea makao makuu ya chama hicho.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...