Thursday, February 28, 2013

LINEX AMVISHA MCHUMBA WAKE PETE KIMYA-KIMYA



Weekend hii, mtu mzima Sunday Mjeda aka Linex aka Mr VOA (Voice Of Africa),
alifanya yake kwa kumvisha pete mpenzi wake, ambae ni ambae ni mwenyeji wa Finland anaeitwa Suvi.
Linex aliamua kufanya kimya kimya tena wakiwa wawili tu,
kwasababu hakutaka kujionyesha, na anaamini ile ni kitu
very personal haikuhitaji manjonjo mengi...all in all blog hii
inakutakia kila la kheri...!!



Linex na mchumba wake






No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...