Friday, December 28, 2012

ROSE MUHANDO ATIKISA SIKU YA KRISMASI MKOANI IRINGA KATIKA TAMASHA LA MLIPUKO WA LULU ZA INJILI


Mwimbaji Rose Muhando akiwapagawisha wakazi wa Iringa waliofika kushuhudia tamasha hilo uwanja wa samora leo



Baadhi ya wakazi wa Iringa Waliohudhuria katika tamasha hilo





Kwa style hii picha itakayotoka sijui yanikumbusha enzi za analogia

MC wa Tamasha la leo Gerald Malekela



Mgeni rasmi mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa akichangisha fedha kwaajili ya watoto yatima katika mkoa wa Iringa huku na yeye akitoa laki tano katika kusaidia vituo mbalimbali Iringa.

The whispers Band nao walikuwepo kutoa burudani
Mwimbaji wa nyimbo za Injili Iringa Peter Mgaya akiimba wimbo wa Ndiheledee

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...