Tuesday, October 9, 2012

RIPOTI YA KIFO CHA MWANGOSI KUTOLEWA HADHARANI LEO


Kamati iliyokuwa ikichunguza vurugu zilizotokea mkoani Iringa na kusababisha kifo cha aliyekuwa Mwandishi wa Kituo Cha Televisheni cha Channel Ten, David Mwangosi wakati ikikabidhi ripoti yake kwa Waziri wa Mambo ya Ndani Dk. Emaanuel Nchimbi.
 
 SERIKALI leo inatoa hadharani ripoti ya Kamati iliyoundwa kupata taarifa kuhusu vurugu zilizotokea mkoani Iringa na kusababisha kifo cha aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daudi Mwangosi. Wakati ripoti hiyo ikitarajiwa kutolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi, Kamati nyingine iliyoundwa na Baraza la Habari (MCT) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (Tef), nayo leo inatarajiwa kuweka hadharani ripoti yake.



No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...