Monday, October 15, 2012

RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKANISA YALIYOHARIBIWA KATIKA VURUGU ZA WAISLAMU MBAGALA





Rais Jakaya Kikwete akiangalia uharibifu mkubwa uliofanywa katika kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es Salaam, wakati wa vurugu za Waislamu jana Ijumaa kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Qur an.

Rais Jakaya Kikwete akioneshwa na Mchungaji Alkwin Mbawi uharibifu uliofanywa kwenye magari yaliyokuwa yameegeshwa ndani ya kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es Salaam wakati wa vurugu za Waislamu jana Ijumaa.

Rais Jakaya Kikwete akioneshwa na Katibu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam M Mkosimonga, uharibifu uliofanywa kwenye kanisa hilo huko Mbagala jijini Dar es Salaam wakati wa vurugu za Waislamu jana Ijumaa.

Rais Kikwete akioneshwa na Katibu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam M. Mkosimonga uharibifu uliofanywa kwenye kanisa hilo wakati wa vurugu za Waislamu jana.
Rais Kikwete akioneshwa na Askofu Msaidizi wa Kanisa la Kiinjili la Kirutheli Dayosisi ya Dar es Salaam na Pwani, Mkosimonga uharibifu uliofanywa kwenye kanisa hilo huko Mbagala wakati wa vurugu za Waislamu jana Ijumaa.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...