Tuesday, July 31, 2012

MABALOZI WA HARAMBEE YA UJENZI WA HOSTELI ZA SEKONDARI ZA WASICHANA, WAZINDUA KAMPENI IITWAYO ELIMU YAO WAJIBU WETU




Miss Tanzania 2005 Nancy Sumari akielezea jinsi alivyoguswa na kuamua kujitoa kusaidia kampeni hii ya TEA inayokusudiwa kuchangisha jumla ya shilingi bilioni 2.3

Mtangazaji wa kipindi cha FEMA, Rebeca Gyumi ambaye pia ndiye mratibu mkuu wa mabalozi hao akielezea jinsi walivyojipanga kuhakikisha wanachangisha fedha za kutosha.



Jokate Mwegelo (kulia) akielezea imani yake kwa watanzania na kuwaomba raia wanaoiombea mema nchi yetu kuguswa kama walivyoguswa wao kujituma katika kuchangia kampeni hii ambapo ujumbe mmoja wa CHANGIA TOFALI ni shilingi 250/=, Kushoto kwake ni Mwanablog maarufu na mwanamitindo Mariam Ndaba



Waandishi wa habari waliofika kuhudhuria uzinduzi wa ‘Elimu yao, Wajibu wetu” kampeni iliyoandaliwa na mabalozi waliojitolea kwa hiari kuhakikisha fedha hizo zinapatikana. Kiasi chote kitakachopatikana katika kampeni hiyo kitaingizwa katika mradi huu.
PICHA: 8020FASHIONS BLOG

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...