Wednesday, May 30, 2012

WAZIRI ABOUD NA MAASKOFU WA TANZANIA WAJADILI VURUGU  ZANZIBAR OFISINI KWAKE

Askofu Mkuu wa Tanzania Dk.Costantino Mokiwa akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi yaMakamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud, walipofika Ofisi hapo kwa ajili ya mazungumzo na Waziri kuhusiana na vurugu zilizoyokea wiki iliopita na kusababisha uharibifu na uvyunjaji wa makanisa katika sehemu mbalimbali na mali za baadhi ya wananchi kuharibiwa.kutokana na vurugu hiyo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud, akizungumza na Ujumbe wa Viongozi wa Makanisa Tanzania ukiongozwa na Askofu Mkuu wa Tanzania Dk. Mokiwa, uliofika Ofisini kwake kwa mazungumzo.mjini Zanzibar.

Maaskofu wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais,akitowa maelezo kwa ujumbe huu ulipofika Ofisini kwake Vuga.



Waandishi wakiwa katika harakati za kazi zao ili kuwahabarisha Wananchi mambo yaliokuwa yakizungumzwa katika mkutano huo

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...