Tuesday, April 24, 2012

KILI TALENTS SEARCH 2012 YARINDIMA DODOMA

Hawa ndio 20 bora waliokuwa wameingia katika fainali za mashindano hayo kutoka mkoani Dodoma

Washiriki wakipongezana baada ya tatu bora itakayowakilisha mkoa wa Dodoma kutajwa

Tatu bora, kutoka kushoto ni halima ramadhani, katikati ni Juma Madaraka na mwisho kabisa ni Issa Dubat

Washiriki wakifurahi pamoja baada ya washindi kutajwa
PICHA: JANE JOHN BLOG

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...