Monday, April 23, 2012

KESI YA LULU YAZIDI KUSOGEZWA MBELE 

 

Mshitakiwa wa kesi ya mauaji ya aliyekuwa msanii wa filamu Bongo Steven Charles Kanumba, 'Kanumba The Great',  Elizabeth Michael 'Lulu', akisindikizwa na Askali Magereza tayari kwa  kupandishwa Kizimbani kwa maranyingini ili kutajwa na kusomewa  mashitaka juu ya kesi inayomkabili ingawa  kwa mujibu wa wakili wa Serikali Elizabeth Kaganda, kesi hiyo imesogezwa mbele  kwa madai ya  upelelezi kutokamilika hivyo kuahirishwa tena mpaka  Mei 7 mwaka huu itakapotajwa upya.

Baadhi ya wapiga picha na waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari waliofika Mahakamani hapo wakijaribu kuchukua data za tukio zima la kesi hiyo.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...