Wednesday, April 25, 2012

COCA-COLA YAZINDUA KAMPENI YA SABABU BILIONI ZA KUITHAMINI AFRIKA

Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi (kushoto) akimkabidhi zawadi ya dekoda, mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi, Fariji Msonsa wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Coca-Cola ya 'sababu bilioni za kuthamini Afrika' Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania, Dimeji Olaniyan.
Filbert Bayi (kushoto) akimkabidhi zawadi ya dekoda, mwandishi wa habari Agnes Sikaonga wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Coca-Cola ya 'sababu bilioni za kuthamini Afrika' Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania, Dimeji Olaniyan.

... akiiingiza mkono kwenye kasha kuchagua karatasi lenye jina la mshindi wa bahati nasibu iliyochezwa wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Mshereheshaji wa hafla hiyo, Kibonde

...akimkabidhi zawadi ya Televisheni mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi, Nora Damiani aliyeshinda bahati nasibu wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Coca-Cola ya 'sababu bilioni za kuthamini Afrika' Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania, Dimeji Olaniyan.

Baadhi ya wanafunzi wakiwa katika uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika leo Mlimani City, Dar es Salaam

Wanahabari wakiwa kazini wakati wa uzinduzi wa kampeni hizo
PICHA/HABARI: JANE JOHN/BLOG

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...