Thursday, February 23, 2012

TOT TAARAB & MASHAUZI CLASIC BAND WAZINDUA USIKU WA TAARAB DAR LIVE



Malkia wa mipasho Bongo, Khadija Omar Kopa, akitumbuiza kwenye uzinduzi huo.

BENDI za muziki wa mwambao Bongo, Tanzania One Theater Taarab ‘TOT TAARAB’ na Mashauzi Clasic Band, usiku wa kuamkia leo kwapamoja zimezindua tamasha la usiku wa Taarabu ndani ya ukumbi wa Dar Live Mbagala Zakheem jijini Dar es Salaam, ambalo litakuwa likifanyika ukumbini hapo kila siku ya jumatano.



Baadhi ya waimbaji wa TOT Taarab wakiwa katika viti tayari kwa kutimiza jukum lao.



Kiongozi wa Mashauzi Clasic Band Isha Ramadhani, akitumbuiza kwenye uzinduzi huo.

Waimbaji wa mashauzi Clasic Band wakiwajibika jukwaani hapo.

Wacheza Kiduku wa Mashauzi Clasic Band wakikamua jukwaani hapo.





Baadhi ya mashabiki waliohudhulia katika uzinduzi huo wakiselebuka kwa raha zao.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...