Tuesday, February 28, 2012

ACHEZEA KICHAPO KWA WIZI WA NYAMA


 
Kijana huyu aliyefahamika kwa jina la George Julius amechezea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kupola nyama na kwenda kujificha katika choo cha stendi kuu ya magari yaendayo nje ya Manispaa ya Morogoro.



ASKARI wa Doria akimuokoa kijana huyo tayari kwa kumfikisha kituo cha polisi cha mtaa wa Kitope Morogoro.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...