Wednesday, January 27, 2016

MGOGORO WA MATANGAZO YA BUNGE KURUSHWA HEWANI LAIVU MENGI YAIBUKA!



Baadhi ya picha zikionyesha matukio ya Askali Polisi baada ya kuingia ndani ya Ukumbi wa Buunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tayari kwa kutuliza fujo zilizotokana na mabishano makali baina ya chama tawala na uapande wa upinzani, mara baada  ya mswaada wa kusitishwa urushaji wa matangazo ya Bunge laivu kuwasilishwa na Waziri wa Habari,Utamaduni, Wasanii,na Michezo Nape Nnauye.
Waziri wa Habari,Utamaduni, Wasanii,na Michezo Nape Nnauye akitoa mswaada unaohusiana na kusitishwa kurushwa laivu  baadhi ya matangazo ya runinga Bungeni mjini Dodoma 



Waziri Mkuu, Kassim Majalliwa akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama Buneni mjini Dodoma.


Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia) akimwapisha Waziri wa Elimu, Sayansi, Tekinolojia na Mafunzo ya Ufundi Joyce Ndarichako, bungeni mjini Dodoma Januari 27, 2016.
Waziri wa Habari,Utamaduni, Wasanii,na Michezo Nape Nnauye akitoa kauli Bungeni mjini Dodoma .Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, Bungeni mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bunge, Mtemi Andrew Chenge akiongoza kikao cha Bunge mjini Dodoma.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na wabunge kwenye jengo la Utawala la Bunge mjini Dodoma.
 Kutoka kushoto ni Ruth Mollel wa Viti Maalu Chadema, Hawa Mwinga wa Viti Maalum Cahdema na Ali Saleh wa Malindi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Baadhi ya wabunge wametolewa nje kwa kushinikiza kujadiliwa kwa hoja ya Zitto Kabwe juu ya tamko la serikali la kusimamisha kurushwa matangazo ya moja kwa moja ya bunge kwenye TV taifa.

Serikali Yatoa Ufafanuzi Juu Ya Kutorusha Matangazo Ya Bunge


No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...