Leo ni siku pekee ya furaha kwa rafiki na bosi wangu wa karibu Ostaz Juma Namusoma, ambapo leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa. Ostaz Juma amesema kwamba hana mpango wa kufanya sherehe kubwa leo zaidi jioni ya leo anatarajia kuketi na familia yake na kukata keki kwa pamoja nyumbani kwake Mbezi. HONGERA SANA OSTAZ JUMA NA MUNGU AKUZIDISHIE MAISHA MAREFU NA YENYE BARAKA SIKU ZOTE. |
No comments:
Post a Comment