Tuesday, January 19, 2016

HAPPY BIRTHDAY OSTAZ JUMA NAMUSOMA

Leo ni siku pekee ya furaha kwa rafiki na bosi wangu wa karibu Ostaz Juma Namusoma, ambapo leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Ostaz Juma amesema kwamba hana mpango wa kufanya sherehe kubwa leo zaidi  jioni ya leo anatarajia kuketi na familia yake na kukata keki  kwa pamoja nyumbani kwake Mbezi.
HONGERA SANA OSTAZ JUMA NA MUNGU AKUZIDISHIE MAISHA MAREFU NA YENYE BARAKA SIKU ZOTE. 
Ostaz Juma Namusoma akiwa katika pozi.


No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...