Monday, May 11, 2015

SHOO YA MRS. MABESTE ILIVYOFANA NEW MAISHA CLUB DAR!

Msanii wa Bongo fleva, Kadja Nito akitumbuiza.
Mmoja wa wasanii waliohudhuria akiwapagawisha mashabiki.
Msanii Mirror akifanya mambo jukwaani.Msanii Ali Kiba akiteta jambo na mmoja wa mashabiki wake.
Belle 9 ‘akipafomu’ kwa hisia kali.
Mwanamitindo Rashida Wanjara akiwa katika pozi na mmoja wa wadau wa burudani.Msanii Dayna Nyange akiwa na mdau wa burudani.
Msanii Tausi akifanya mambo yake jukwaani.
Wadau wa burudani wakiwa katika furaha.
Msanii Kajala Masanja katika pozi.
Mmoja wa wadau wa burudani akiwa katika pozi kwenye zulia jekundu (red carpet).
Red carpet ikizidi ‘kuwaita’ washiriki.
Msanii Rose Ndauka akiwa na wadau wa burudani.
SHOO kwa ajili ya kumchangia mke wa mwanamuziki Mabeste iliyokwenda kwa jina la Mrs. Mabeste Charity ilifanyika usiku wa jana ndani ya ukumbi wa New Maisha Club, Oysterbay jijini Dar na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali.
(Habari/Picha: Na Brighton Masalu/GPL)

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...