Friday, April 17, 2015

THEA: WASANII TUNATESWA NA KIDUDU MTU

MKONGWE kwenye soko la ugizaji Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka kuwa miaka ya hivi karibuni wasanii hawaishi pamoja kama zamani kwani shetani amewaingilia katikati na kuwatenganisha.
Mkongwe kwenye soko la ugizaji Bongo, Salome Urassa ‘Thea’.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Thea alisema kipindi cha nyuma wasanii walikuwa waipenda sana kuwa na kundi moja wakakaa pamoja na kuelewana lakini kukatokea kitu ambacho mpaka leo hakieleweki wakasambaratika.“Naamini kuna vitu tulikosea, tunateseka kweli. Tunatakiwa kabisa kumrudia Muumba wetu kwa kuwa hakuna cha Bongo Movies wala nini na ninaona inaelekea kufa kabisa lazima tukae na kujikagua upya,” alisema Thea.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...