Na Musa Mateja
Binti anayekuja kwa kasi kwenye
gemu la muziki, Menina Atick amelazimika kutumia mimu ya kujichora tatuu
pajani ili kuziba kovu kubwa lililopo eneo hilo nyeti.
Msanii huyo mwenye figa tata alinaswa na paparazi wetu maeneo ya
Mikocheni kwenye Ukumbi wa Escape One akiwa amejichora tatuu na katika
kufuatilia ikabainika kuwa, kovu kubwa lililoharibu eneo hilo ndilo
lilisababisha urembo huo.
Akipiga
Menina alisema ni kweli alikuwa na baka eneo hilo na
katika kumfanya aendelee kuwa na mvuto, alitumia mbinu hiyo ya kuziba
kwa tatuu.
No comments:
Post a Comment