KIKUNDI cha Kislamu cha ISIS kinachoendesha
mauaji ya Wakristo kimeonesha picha mbalimbali zikiwaonesha wakiwa katika pozi
mbalimbali katika milima ya Iraqi.
Wameonesha wakiwa wametulia bila hofu. Muda
mwingi wamekuwa wakisoma vitabu vya Koroani, wakipanda farasi na sehemu
nyingine wakiwa mbele ya bendera yao.
No comments:
Post a Comment