Friday, February 27, 2015

RED CARD NYINGINE!!!!

Dakika ya 73, Yanga nao wanapata pigo kwa Mrwanda kutolewa nje baada ya kuonyeshwa kadi za njano mbili....

*** KUMRADHI Matukio ya dakika kuanzia 45-68 hatukuyapata kutokana na mawasiliano kutokuwa sawa kutoka Botswana...

Lakini BDF wamesawazisha, 1-1

Dakika ya 70, Yanga wanakosa bao la wazi kwa mara nyingine, Tambwe na Ngassa wote wanashindwa kuweka mpira kimiania








No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...