Friday, February 27, 2015

GOOAAAAAAAALLLLLLL

Dakika 29 Mrisho Ngassa anaipatia Yanga bao la kuongoza, akipiga kichwa ya kuchumpa akimalizia pasi ya Amisi Tambwe, ambaye wametokea kushabihiana sana..

Yanga 1-0 BDF....

Jahazi la BDF linazidi kuzama, maana bao hilo linawafanya kusaka mabao manne kama wana nia ya kupenya katika hatua ya kwanza.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...