Friday, February 27, 2015

GOOOOOAAAALLLL

DBF wanapata bao la pili dakika ya 85 kwa Madziba kwa kumalizia mpira uliogonga mwamba na kurudi wuanjani, akatumia udhaifu wa mabeki wa Yanga watatu waliokuwa eneo hilo na kukwamisha mpira wavuni.
BDF 2-1 Yanga

Dk 87, Ngassa anatoka na nafasi yake inachukuliwa na Kpah Sherman.
Dakika 90 zinakamilika. wanaongeza nne

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...