Saturday, March 2, 2013

BETHIDEI YA LADNAA YAVUTIA MASTAA KIBAO

Jacqueline Wolper (kushoto), akimlisha keki Ladnaa kwenye Bethidei yake.
Ladnaa akiwa na keki yake.
Steve Nyerere akilishwa keki.
Mama mzazi wa Diamond (kushoto), akilishwa keki hiyo.
Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule (kushoto), akilishwa keki.
Ladnaa akimwagiwa Shampeni na mmoja wa wageni wake.
Snura akinogesha sherehe hiyo kuchezesha makalio.
Snura akitimua mbio baada ya kumaliza kutoa burudani mahali hapo.
Nay wa Mitego akiwa katika pozi na Ladnaa.
Beny Kinyaiya pia alikuwepo.
Yussuf Mlela akiwa katika pozi na Ladnaa.
Wasanii wa kundi la Makomandoo wakiwa katika pozi na Ladnaa.
Baaadhi ya waalikwa wakipiga makofi wakati wa kuimba wimbo wa bethidei hiyo. BETHIDEI ya aliyewahi kuwa mtangazaji wa EATV katika kipindi cha Friday Night Live, Ladnaa, ilifana vya kutosha juzi ilipofanyika
ndani ya Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na mastaa kibao.

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...