Thursday, February 28, 2013

TICKETS KWA AJILI YA SHOW YA BEYONCE UK ZIMEISHA NDANI YA DAKIKA 10



Sekunde kadhaa baada ya tiketi kuingia sokoni kwa ajili ya UK world tour ya Beyonce inayoitwa
"Mrs. Carter" siku ya juma mosi asubuhi,kuuzika zote ndani ya dakika 10
(sold out) mashabiki waanza kufurika kwenye internet na malalamiko kwamba
kila show ticket zimeisha na watu wamejitosheleza (sold out)

lakini masaa machache baadae, scores za ticket zimeanza kujionyesha kupitia katika
sites za brokers wakiziuza kwa paund 660 kila moja, ambayo ni zaidi ya shilingi
1,500,000 za kitanzania, na muuzaji mmoja akiuza ticket 6
kwa paund 2,000 kupitia eBay.


kuuzika kwa ticket hizo na kumalizika ndani ya dakika 10, kunasababisha kuwepo kwa
tuhuma kuwa inawezekana Beyonce na uongozi wake wamezinunua wenyewe, kama
justine Beiber na Taylor Swift ambao walikamatwa wakifanya hivyo mwaka jana

No comments:

Post a Comment

POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...